HARMONISE AMESEMA GHARAMA ZINAWASABABISHA KUWATUMIA VIDEO QUEEN WA NJE.
Harmonise msanii kutoka #Wcb amesema trend iliyopo kwa sasa wasanii wengi wa bongo kutowatumia #models wa kibongo kwenye video zao inatokana na gharama za kuwasafirisha ukilinganisha na wale wanaowapata kule.
Kupitia #Planetbongo amesema game imebadilika na kila msanii anatafuta njia ya kujiweka vizuri kibiashara.
Video nyingi za wasanii wa bongo za hivi karibuni hasa zilizofanyiwa
nje ya nchi video Queen wake ni kutoka nje ya nchi na wengine ni wazungu
isipokuwa ile ya diamond ft mafikizolo ambayo mtanzania millen magese
alionekana.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni