Jumapili, 5 Juni 2016

Hakuna tena bado nipo nipo: Mwana FA afunga ndo

Mwana FA unaona lini? Hatimaye jibu lake limepatikana. Rapper huyo amefunga ndoa Jumapili hii.

Hitmaker huyo wa Asanteni kwa Kuja amefunga ndoa na mchumba wake aitwaye Helga.

Ndoa hiyo ya kiislamu imehudhuriwa na ndugu na marafiki zake wa karibu wakiwemo AY, Hermy B, Ommy Dimpoz, Sallam, Dully Sykes, Alberto Msando na wengine.

Tunampongeza FA kwa hatua hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni