Alhamisi, 9 Juni 2016

Hospitali ya Mwananyamala, Amana na TMK zitarajie huduma hii kutoka kwa Serikali ya Japan

Hospitali ya Mwananyamala, Amana na TMK hali kuwa safi



Mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda amekutana na balozi wa Japan nchini na kuongelea changamoto wanazokutana nazo wagonjwa katika Hospitali za Dar, Amana, TMK, na Mwananyamala, hususani kwa wagonjwa wanaotakiwa kupewa huduma za haraka pamoja na chumba cha ICU na kwa siku hospital moja inapokea wagonjwa 1800 mpaka 2000 na 50% ya wagonjwa hao wanahitaji huduma ya haraka (Emergency unity)

Kutokuwepo kwa huduma hizo katika Hospitali hizo Mkuu wa mkoa wa Dar amekutana na balozi wa Japan Masaharu Yoshida ofisini kwake na kufanya mazungumzo ya Kujenga Emergency Unity na wanaanza na Hospitali ya Temeke.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni