Kauli ya Jerry Muro baada ya kupeleka vielelezo TAKUKURU kuhusu wanaohujumu Yanga
“Leo tumetekeleza maelekezo ya yaliotolewa na mwenyekiti wetu, kwanza kuwasilisha tuhuma zote zilizotolewa na mwenyekiti wetu tunaziwakilisha TAKUKURU, kama unakumbuka katika mkutano wake na waandishi wa habari kabla ya kuchukua fomu alitoa maelekezo hayo na sisi tumetekeleza”
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni